13 Umeme ulimetameta mbele yake, makaa ya moto yakawaka.
Yawe alinguruma kutoka mbinguni; Mungu Mukubwa akatoa sauti yake.
Moshi ulifuka kutoka katika pua yake, moto wenye kuteketeza ukatoka katika kinywa chake, makaa ya moto yakatokea.
Utukufu wa Yawe ukaonekana mbele ya macho ya watu wa Israeli kama moto unaowaka juu ya mulima.