12 Alijifunika giza pande zote; kifuniko chake kilikuwa mawingu mazito ya mvua.
Aliinamisha anga, akashuka chini, na wingu jeusi lilikuwa chini ya miguu yake.
Beni-Hadadi alipokea ujumbe huu wa Ahabu wakati yeye na wafalme waliomwunga mukono walipokuwa ndani ya mahema yao wakikunywa. Basi, akaweka waaskari wake tayari kwa kuushambulia muji ule.
Nani anayejua jinsi mawingu yanavyotanda, au jinsi radi inavyonguruma kwake katika anga?
Siku ya taabu atanificha ndani ya nyumba yake; atanificha katika hema lake, atanilinda salama juu ya mulima.
Mawingu na giza nzito vinamuzunguka; haki na sheria ni musingi wa utawala wake.