Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 22:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Aliinamisha anga, akashuka chini, na wingu jeusi lilikuwa chini ya miguu yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 22:10
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Solomono akasema: “Yawe alisema kwamba atakaa katika giza nene.


umejenga makao yako katika mbingu juu ya maji. Umeyafanya mawingu kuwa gari lako nawe unatembea katika anga.


Uinamishe mbingu zako, ee Yawe, ushuke chini! Uiguse milima, nayo itoe moshi!


Mawingu na giza nzito vinamuzunguka; haki na sheria ni musingi wa utawala wake.


Basi, siku ya tatu asubui, kukatokea ngurumo na umeme na wingu zito juu ya mulima. Kukasikilika vilevile sauti kubwa ya baragumu ambayo iliwatetemesha watu wote katika kambi.


Watu wote wakasimama mbali wakati Musa alipokaribia lile wingu zito Mungu alimokuwa.


Tumekuwa kama watu ambao haujawatawala hata kidogo, kama watu ambao hawakujulikana kwa jina lako. Heri ungepasua mbingu ushuke chini, milima ingetetemeka mbele yako!


Yawe hakasiriki upesi, lakini amejaa nguvu, Yawe hatawaachilia wenye makosa hata kidogo. Yawe anapopita, upepo mukali na zoruba vinatokea; mawingu ni mavumbi yanayonyanyuliwa na miguu yake.


Tangia saa sita ya muchana, giza lilikuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.


“Basi, mulikaribia na kusimama chini ya ule mulima ambao wakati huo ulikuwa unawaka moto uliofika mpaka mbinguni ukiwa umetanda giza na wingu zito.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ