Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 21:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Lakini mufalme aliwatwaa wana wawili ambao Risipa binti ya Ahiya alimuzalia Saulo, nao ni: Armoni na Mefiboseti. Aliwatwaa vilevile watoto wote watano wanaume wa Mikali binti ya Saulo ambao alimuzalia Adrieli mwana wa Barzilayi wa muji Mehola.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 21:8
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Saulo alikuwa na habara mumoja aliyeitwa Risipa, binti ya Aya. Basi, wakati mumoja, Isiboseti akamwuliza Abeneri: “Kwa nini umelala na habara ya baba yangu?”


Naye Yehu mwana wa Nimusi, umupakae mafuta akuwe mufalme wa Israeli. Elisha mwana wa Safati wa Abeli-Mehola, utamupakaa mafuta akuwe nabii kwa pahali pako.


Wana wa Saulo walikuwa: Yonatani, Iswi na Malkisua. Wabinti zake walikuwa wawili; muzaliwa wa kwanza aliitwa Merabu na mudogo aliitwa Mikali.


Lakini, wakati ule ambapo Merabu binti ya Saulo angeoeshwa kwa Daudi, alioeshwa kwa Adrieli kutoka muji wa Mehola.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ