2 Samweli 21:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Basi, utupatie watu saba kati ya wazao wake, nasi tuwatundike mbele ya Yawe juu ya mulima Gibea, kwa Saulo aliyechaguliwa na Yawe.” Mufalme akasema: “Nitawapatia nao.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kiongozi wao alikuwa Ahiezeri aliyesaidiwa na Yoasi, wote wawili ni wana wa Sema kutoka Gibea, Yezieli na Peleti, wana wa Azimaweti, Beraka na Yehu kutoka Anatoti, Isimaya kutoka Gibeoni aliyekuwa mutu shujaa kati ya wale makumi tatu na kiongozi wao, Yeremia, Yahazieli, Yohanani, Yozabadi kutoka Gedera, Elizai, Yeremoti, Bealia, Semaria, na Sefatia wa muji wa Harufi, Elekana, Isia, Azareli, Yoezeri, Yasobeamu kutoka ukoo wa Kora, Yoela na Zebadia, wana wa Yerohamu, kutoka Gedori.