2 Samweli 21:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Wagibeoni wakamwambia: “Maneno kati yetu na Saulo pamoja na jamaa yake si jambo la kulipwa feza au zahabu, wala si jambo la kuua mutu yeyote katika inchi ya Israeli.” Mufalme akawauliza tena: “Sasa munasema niwatendee nini?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |