Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 21:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Hao wane walikuwa wazao wa majitu kule Gati, nao waliuawa na Daudi pamoja na watumishi wake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 21:22
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Isibi-Benobi, mutu mumoja wa wazao wa majitu ambaye mukuki wake wa shaba ulikuwa na uzito wa karibu kilo tatu na nusu na aliyekuwa amejifungia upanga mupya, alisema atamwua Daudi.


Alipowachekelea Waisraeli, Yonatani mwana wa Simei, ndugu ya Daudi, alimwua.


Hao walikuwa wazao wa majitu kule Gati, nao wakauawa na Daudi pamoja na watumishi wake.


Utupatie musaada juu ya waadui zetu, maana musaada wa mwanadamu haufai kitu.


Sauti za furaha ya ushindi zikasikilika katika hema za watu wa haki: “Mukono wa Yawe umetenda mambo makubwa!


Si wewe Mungu ambaye umetutupilia? Lakini hauendi tena na jeshi letu.


Tena, nimeona kitu kimoja hapa chini ya jua, kwamba wenye kukimbia mbio hawashindi katika mashindano ya kukimbia, wala wenye nguvu hawashindi vita, wenye hekima hawapati chakula, wenye akili hawatajiriki, wala wenye ujuzi hawapandi vyeo. Lakini wakati wa bahati unawapata wote pamoja.


Anayetaka kujivuna, ajivune kwamba ananifahamu mimi, kwamba anajua kwamba mimi Yawe ninatenda mema, ninafanya mambo ya haki kufuatana na sheria yangu katika dunia. Watu wa namna hiyo ndio wanaonipendeza. –Ni ujumbe wa Yawe.


Basi kufuatana na mambo hayo, tuseme nini zaidi? Mungu akiwa upande wetu, ni nani anayeweza kupingana nasi?


Lakini katika mambo haya yote tunapata ushindi kabisa kwa njia ya yule aliyetupenda.


Sasa ninaomba unipe inchi hii ya milima ambayo Yawe aliniahidi siku ile. Wewe ulisikia siku ile kwamba Waanaki waliishi humo katika miji yenye kuta; labda Yawe atakuwa pamoja nami, nami nitawafukuza kama vile Yawe alivyosema.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ