Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 21:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Alipowachekelea Waisraeli, Yonatani mwana wa Simei, ndugu ya Daudi, alimwua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 21:21
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Amunoni alikuwa na rafiki aliyeitwa Yonadabu, mwana wa Shama, ndugu ya Daudi. Yonadabu alikuwa mutu mwerevu sana.


Kisha kulitokea tena vita kule Gati ambako kulikuwa na mutu mumoja alikuwa murefu sana, na mwenye vidole sita katika kila mukono, na vidole sita katika kila muguu, jumla ya vidole vyake ilikuwa makumi mbili na ine. Yeye vilevile alikuwa wa uzao wa majitu.


Hao wane walikuwa wazao wa majitu kule Gati, nao waliuawa na Daudi pamoja na watumishi wake.


Wako wapi wafalme wa Hamati, Arpadi, Sefarwaimu, Hena na Iwa?’ ”


Yese alizaa: Eliabu, muzaliwa wake wa kwanza, wa pili Abinadabu, wa tatu Simea,


Yonatani, mujomba wa mufalme Daudi, alikuwa mushauri na mutu mwenye ufahamu na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakemoni aliwafundisha wana wa mufalme.


Yese akamuleta Shama. Samweli akasema: “Wala huyu hakuchaguliwa na Yawe.”


Kisha Mufilistini yule aliendelea kusema kwa majivuno: “Ninawataka waaskari wa Waisraeli siku hii kumutoa mutu mumoja akuje kupigana nami.”


Wafilistini walisimama kwenye mulima upande mumoja na Waisraeli walisimama kwenye mulima upande mwingine. Katikati yao kulikuwa bonde.


Mimi mutumishi wako nimekwisha kuua simba wengi na dubu wengi. Sasa, hata yule Mufilistini mupagani, ambaye amewatukana waaskari wa Mungu Mwenye Uzima, atakuwa kama wao.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ