Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 21:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Kisha kulitokea tena vita kule Gati ambako kulikuwa na mutu mumoja alikuwa murefu sana, na mwenye vidole sita katika kila mukono, na vidole sita katika kila muguu, jumla ya vidole vyake ilikuwa makumi mbili na ine. Yeye vilevile alikuwa wa uzao wa majitu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 21:20
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Isibi-Benobi, mutu mumoja wa wazao wa majitu ambaye mukuki wake wa shaba ulikuwa na uzito wa karibu kilo tatu na nusu na aliyekuwa amejifungia upanga mupya, alisema atamwua Daudi.


Nyuma ya hayo, kulitokea tena mapigano na Wafilistini kule Gobu. Kule, Sibekayi wa muji wa Husa alimwua Safu aliyekuwa mutu mumoja wa wazao wa Rafa.


Alipowachekelea Waisraeli, Yonatani mwana wa Simei, ndugu ya Daudi, alimwua.


Nyuma kukatokea tena vita kule Gati ambako kulikuwa mutu mumoja aliyekuwa murefu sana, na vidole sita katika kila mukono, na vidole sita katika kila muguu, kwa jumla vidole makumi mbili na vine. Yeye vilevile alikuwa wa uzao wa majitu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ