2 Samweli 21:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Kwa hiyo, mufalme Daudi akawaita Wagibeoni. Wagibeoni hawakukuwa Waisraeli lakini walikuwa mabaki ya Waamori. Watu wa Israeli walikuwa wameapa kuwaacha wazima, lakini Saulo alijaribu kuwaua wote maana alikuwa na bidii ya upendeleo kwa watu wa Israeli na wa Yuda. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |