Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 21:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kisha Wafilistini walifanya vita tena na Waisraeli. Daudi na watu wake wakaenda kupigana na Wafilistini. Daudi alichoka sana siku ile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 21:15
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Isibi-Benobi, mutu mumoja wa wazao wa majitu ambaye mukuki wake wa shaba ulikuwa na uzito wa karibu kilo tatu na nusu na aliyekuwa amejifungia upanga mupya, alisema atamwua Daudi.


Wafilistini waliposikia kwamba Daudi amepakwa mafuta kuwa mufalme wa Waisraeli, wote walitoka kwenda kumutafuta, lakini yeye alipata habari, akaingia ndani ya makimbilio.


Kwa mara ya pili, Wafilistini walifika tena na kujitawanya kwenye bonde la Refaimu.


Daudi alifanya kama vile alivyoamuriwa na Yawe, naye akawapiga Wafilistini kutokea Geba mpaka Gezeri.


Nyuma ya hayo, Daudi aliwashinda Wafilistini. Akawanyenyekeza na kunyanganya utawala wa Wafilistini.


Nyuma ya hayo, kukatokea vita na Wafilistini kule Gezeri. Sibekayi wa muji wa Husati akamwua Sipayi aliyekuwa mumoja kati ya wazao wa majitu; hivyo Wafilistini wakashindwa.


Usiniachilie, ee Mungu, nitakapokuwa muzee mwenye imvi nyingi, kusudi nivitangazie vizazi vitakavyokuja nguvu yako.


Wakati wa uzee usinitupe; ninapoishiwa na nguvu usiniachilie.


Hata nikikosa nguvu katika mwili na katika roho, wewe, ee Mungu, ni kikingio changu; na hitaji langu lote ni wewe kwa milele.


walinzi wa nyumba wanatetemeka, wenye nguvu wanakunjama, wasagaji wanaacha kazi kwa sababu ni wachache, wanaochungulia kwenye dirisha wanakuwa zaifu,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ