2 Samweli 21:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Basi, watu wa Daudi wakaizika mifupa ya Saulo na ya mwana wake Yonatani katika inchi ya Benjamina, kule Zela katika kaburi la Kisi baba ya Saulo. Walifanya kila kitu ambacho mufalme aliamuru. Nyuma ya hayo, Yawe akayakubali maombi kwa ajili ya inchi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Leo tutakapoagana, utakutana na watu wawili karibu na kaburi la Rakeli kule Zeleza katika inchi ya Benjamina. Hao watakuambia kwamba wale punda uliokuwa unawatafuta wamekwisha kupatikana. Baba yako ameacha kufikiri juu ya punda, lakini ana wasiwasi juu yako, akijiuliza kila mara: ‘Nitafanya nini juu ya mwana wangu?’