2 Samweli 21:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Alikwenda na kuitwaa mifupa ya Saulo na ya mwana wake Yonatani kutoka kwa wakaaji wa Yabeshi-Gileadi, waliokuwa wameiiba kutoka kule Beti-Sani, ambako Wafilistini walikuwa wamemutundika Saulo na Yonatani siku ile walipomwua Saulo kwenye mulima Gilboa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |