2 Samweli 21:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Wakati mumoja katika siku za utawala wa Daudi kukatokea njaa kali katika inchi. Njaa hiyo ilidumu miaka mitatu yenye kufuatana. Daudi alimwomba Yawe shauri. Yawe akamwambia: “Saulo na jamaa yake wana makosa ya kumwanga damu kwa sababu aliwaua Wagibeoni.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |