24 Adoramu alikuwa musimamizi wa kazi za kulazimishwa. Yeosafati alikuwa mwandishi wa habari za kifalme.
Yoabu mwana wa Zeruya alikuwa jemadari wa makundi yake ya waaskari. Yosafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwandishi wa habari za kifalme.
Mufalme Rehoboamu alipomutuma Adoramu, aliyekuwa musimamizi mukubwa wa kazi za kulazimishwa, watu wote wa Israeli walimutupia mawe, wakamwua. Naye Rehoboamu alipanda haraka ndani ya gari lake, akakimbilia Yerusalema.