2 Samweli 20:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Amasa alikuwa bado anagaagaa ndani ya damu yake katikati ya barabara kubwa. Kwa hiyo, kila mutu aliyepita pale, alipomwona, alisimama. Lakini yule mutu alipoona kwamba watu wote walikuja na kusimama pale, aliuondoa mwili wa Amasa ndani ya barabara, akaupeleka katika shamba na kuufunika kwa nguo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |