Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 20:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Mutu mumoja wa Yoabu akakuja akasimama karibu na mwili wa Amasa, akasema: “Yeyote anayemupenda Yoabu na yeyote anayemupenda Daudi, amufuate Yoabu!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 20:11
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Amasa alikuwa bado anagaagaa ndani ya damu yake katikati ya barabara kubwa. Kwa hiyo, kila mutu aliyepita pale, alipomwona, alisimama. Lakini yule mutu alipoona kwamba watu wote walikuja na kusimama pale, aliuondoa mwili wa Amasa ndani ya barabara, akaupeleka katika shamba na kuufunika kwa nguo.


Amasa alipoondolewa kwenye barabara kubwa, watu wote sasa waliendelea kumufuata Yoabu kwa kumufuatilia Seba mwana wa Bikiri.


Ulivyosema si kweli! Lakini mutu mumoja kutoka sehemu ya milima ya Efuraimu anayeitwa Seba mwana wa Bikiri anataka kumwasi mufalme Daudi. Mumutoe kwangu nami nitaondoka katika muji wenu.” Yule mwanamuke akamwambia Yoabu: “Kichwa chake kitarushwa kwako kupitia juu ya ukuta.”


Kisha, mufalme akamwambia Amasa: “Unikusanyie watu wote wa Yuda katika siku tatu, na wewe mwenyewe ukuwe pale.”


Yehu akaangalia juu na kusema: “Ni nani anayekuwa upande wangu?” Wakubwa wawili au watatu wakatokeza vichwa vyao kwa kumwangalia kutoka kwenye dirisha,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ