Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Abeneri mwana wa Neri, mukubwa wa waaskari wa Saulo alikuwa amemukamata Isiboseti mwana wa Saulo na kumupeleka kule Mahanaimu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 2:8
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yakobo akaendelea na safari yake. Basi, wamalaika wa Mungu wakakutana naye.


Yakobo alipowaona, akasema: “Hii ni kambi ya jeshi la Mungu!” Kwa hiyo akaita pahali pale “Kambi mbili”.


Basi, Daudi akaenda Mahanaimu. Abusaloma akavuka muto Yordani na watu wote wa Israeli.


Abeneri na watu wake walipita katika bonde la Araba usiku kucha. Wakavuka Yordani, wakatembea muchana wote mpaka Mahanaimu.


Lakini mukuwe imara na mashujaa. Saulo, bwana wenu, amekufa, na watu wa Yuda wamenipakaa mafuta nikuwe mufalme wao.”


Mufalme Daudi aliwaambia watumishi wake: “Hamujui kwamba leo mukubwa na mutu wa heshima amekufa katika inchi ya Israeli?


Kadiri vita ilivyoendelea kati ya jamaa ya Daudi na ile ya Saulo, Abeneri alizidi kujiimarisha katika jamaa ya Saulo.


Jamaa za Zadoki, kijana hodari katika vita, yeye pamoja na majemadari makumi mbili na wawili kutoka ukoo wa baba yake mwenyewe.


Kutoka kabila la Benjamina, (kabila la Saulo): watu elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa jamaa ya Saulo.


Neri alizaa Kisi, Kisi alizaa Saulo. Saulo alizaa: Yonatani, Malkisua, Abinadabu na Esibali.


Neri alizaa Kisi, naye Kisi alizaa Saulo. Saulo alikuwa na wana wane: Yonatani, Malikisua, Abinadabu na Esibali.


Katika eneo la kabila la Gadi walipewa Ramoti wa Gileadi, muji wa kukimbilia usalama, pamoja na mbuga zake za malisho, Mahanaimu pamoja na mbuga zake za malisho,


Muke wa Saulo aliitwa Ahinoamu binti ya Ahimasi. Jemadari wa makundi ya waaskari wa Saulo aliitwa Abeneri mwana wa Neri, baba mudogo wa Saulo.


Saulo alipomwona Daudi akienda kupigana na yule Mufilistini Goliati, alimwuliza Abeneri, jemadari wa kundi lake: “Abeneri, huyu ni kijana wa nani?” Abeneri alijibu: “Ee Mufalme, ninaapa kwa jina lako, mimi sijui.”


Akawaita kwa sauti waaskari wa Saulo na Abeneri mwana wa Neri akisema: “Abeneri, unanisikia?” Abeneri akauliza: “Wewe ni nani unayemwita mufalme?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ