2 Samweli 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Kila mumoja alimukamata adui yake kwenye kichwa, na kumuchoma upanga katika ubavu. Hivyo wote wawili wakaanguka chini, wamekufa. Kwa hiyo, pahali pale pakaitwa Shamba la Mapanga. Pahali pale pako kule Gibeoni. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |