Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 2:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Yoabu mwana wa Zeruya na watumishi wengine wa Daudi, nao walitoka na kukutana na Abeneri na watu aliokuwa nao kwenye kiziwa kinachokuwa kule Gibeoni. Kikundi kimoja kikajipanga upande mumoja wa kiziwa na kingine upande mwingine.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 2:13
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wana watatu wa Zeruya, Yoabu, Abisayi na Asaeli walikuwa pale pale. Asaeli alikuwa na mbio kama paa.


Sasa Yoabu alikuwa jemadari wa waaskari wote wa Waisraeli. Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa jemadari wa Wakereti na Wapeleti.


Walipofika kwenye jiwe kubwa linalokuwa kule Gibeoni, Amasa akatoka kwenda kuwapokea. Yoabu alikuwa akivaa nguo ya kiaskari, na ndani ya nguo ile kulikuwa mukaba ulioshikilia upanga kwenye kiuno chake ukiwa kwenye mufuko wake. Yoabu alipokuwa anakaribia, upanga wake ulichomoka ndani ya mufuko ukaanguka chini.


Asaeli ndugu ya Yoabu, alikuwa mumoja wa mashujaa makumi tatu. Mashujaa wengine wa Daudi walikuwa: Elihanani, mwana wa Dodo wa Betelehemu;


Yoabu mwana wa Zeruya alikuwa jemadari wa makundi yake ya waaskari. Yosafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwandishi wa habari za kifalme.


Adonia akafanya shauri na Yoabu mwana wa Zeruya, na kuhani Abiatari. Nao wakamufuata na kumwunga mukono.


“Zaidi ya hayo, unajua vilevile yale Yoabu mwana wa Zeruya aliyonitendea, jinsi alivyowatendea majemadari wawili wa waaskari wa Israeli, Abeneri mwana wa Neri, na Amasa mwana wa Yeteri. Aliwaua wakati wa amani akitaka kulipiza kisasi kwa mauaji waliyofanya wakati wa vita. Aliwaua watu wasiokuwa na kosa, nami nikabeba lazima ya kifo cha watu wale kwa ajili ya vitendo vyake.


Halafu Daudi akasema: “Mutu atakayetangulia kuwapiga Wayebusi, atakuwa mukubwa na jemadari katika jeshi.” Basi Yoabu mwana wa Zeruya, akakuwa wa kwanza kuwashambulia, hivyo akakuwa mukubwa.


Wadada zao walikuwa Zeruya na Abigaili. Wana wa Zeruya walikuwa watatu: Abisai, Yoabu na Asaheli.


waliwakusanya watu wao wote, wakaenda kupigana na Isimaeli. Walimukuta kwenye kisima kikubwa cha Gibeoni.


Daudi akamwambia Ahimeleki ambaye alikuwa Muhiti, na Abisai ndugu ya Yoabu (mama yao aliitwa Zeruya): “Nani atakwenda pamoja nami kwenye kambi ya Saulo?” Abisai akamwambia: “Mimi nitakwenda pamoja nawe.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ