“Lakini uwatendee mema wana wa Barzilayi, yule Mugileadi, wakuwe kati ya wale wanaokula kwenye meza yako, kwa sababu walinitendea mema wakati nilipomukimbia ndugu yako Abusaloma.
Watu wa ukoo hizi za makuhani vilevile walirudi: ukoo wa Habaya, wa Hakosi na wa Barzilayi. Huyo Barzilayi alikuwa ameoa binti ya Barzilayi wa Gileadi, naye vilevile akaitwa Barzilayi.
Wazao wa ukoo hizi zinazofuata za makuhani vilevile walirudi: ukoo wa Hobaya, wa Hakosi na wa ukoo wa Barzilayi (aliyekuwa ameoa wabinti za Barzilayi, Mugileadi, naye akatwaa jina la ukoo ule.)