Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 19:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Maana, jamaa yote ya babu yangu walikuwa watu ambao wamestahili kuuawa mbele yako, bwana wangu mufalme. Lakini uliniweka mimi mutumishi wako kati ya wale wanaokula kwenye meza yako. Nina haki yoyote zaidi hata nikulilie mufalme?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 19:29
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Sasa, amenisingizia kwako, ee bwana wangu mufalme. Lakini wewe, bwana wangu mufalme, uko kama malaika wa Mungu. Fanya sawa unavyotaka.


Mufalme akamwambia: “Usiniambie zaidi juu ya mambo yako pekee. Mimi nimekwisha amua kuwa wewe pamoja na Siba mutagawanyana inchi ya Saulo.”


Kulikuwa mutumishi wa jamaa ya Saulo aliyeitwa Siba. Siba aliitwa kwenda kwa Daudi. Mufalme Daudi alimwuliza: “Wewe ndiwe Siba?” Naye akamujibu: “Ndiyo, mimi mutumishi wako ndiye.”


Daudi akamwambia: “Usiogope. Mimi nitakutendea mema kwa ajili ya baba yako Yonatani. Nitakurudishia yale mashamba yote yaliyokuwa ya babu yako Saulo. Nawe, utakula kwenye meza yangu siku zote.”


Kisha, mufalme Daudi akamwita Siba mutumishi wa Saulo, akamwambia: “Ile mali yote iliyokuwa ya Saulo na jamaa yake nimemupa mujukuu wa bwana wako.


Nitateketeza yule anayemuteta mwenzake, sitamuvumilia mwenye majivuno na kiburi.


“Mpaka wakati gani mutaendelea kuhukumu bila haki na kuwapendelea watu waovu?


Kujibu mbele ya kusikiliza ni upumbafu na jambo la haya.


Lakini kwa kuona ni mabishano tu juu ya maneno, majina na sheria yenu, maneno yale yanawaangalia ninyi wenyewe. Mimi sitakata maneno yale.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ