2 Samweli 19:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Basi, alipofika Yerusalema kwa kumupokea mufalme, Daudi alimwuliza: “Mefiboseti, kwa nini haukuandamana pamoja nami?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Yonatani mwana wa Saulo alikuwa na mutoto aliyekuwa kilema wa miguu. Mutoto huyo aliitwa Mefiboseti. Mefiboseti alikuwa na umri wa miaka mitano wakati habari za kifo cha Saulo na Yonatani ziliposikilika kutoka Yezereheli. Kwa wakati ule, mulezi wake aliposikia kwamba Saulo na Yonatani waliuawa kule Yezereheli, akamukamata Mefiboseti na kukimbia naye. Lakini alipokuwa anakimbia kwa haraka, mutoto huyo alianguka na kuwa kilema.