Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 19:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Lakini Daudi akasema: “Wana wa Zeruya, kuna maneno gani kati yangu nanyi. Kwa nini munajifanya kama waadui zangu leo? Basi inawezekana kwa mutu yeyote katika Israeli kuuawa kwa siku ya leo? Sijui kwamba mimi ni mufalme wa Israeli siku ya leo?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 19:23
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini mufalme akamwambia: “Kuna maneno gani kati yangu na ninyi wana wa Zeruya? Ikiwa Yawe amemwambia: ‘Umulaani Daudi’, nani sasa anaweza kuuliza: ‘Kwa nini umefanya hivyo?’ ”


Kisha, mufalme akamwambia Simei: “Wewe hautauawa.” Mufalme akamwapia Simei.


Maana siku utakapotoka na kuvuka kijito Kidroni, ninakuambia kweli utakufa na kubeba lazima ya kifo chako wewe mwenyewe.”


Hapo, mufalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka, akamupiga na kumwua Simei. Basi, ufalme ukaimarika chini ya Solomono.


Kwa maana watu wanapofanya kiapo, wanaapa kwa jina la mutu anayekuwa mukubwa kuliko wao wenyewe, nao uhakikisho wa kiapo kile unakomesha mabishano yote kati yao.


Lakini Saulo akawaambia: “Hakuna mutu yeyote atakayeuawa leo, kwa sababu katika siku hii, Yawe ameikomboa Israeli.”


Saulo akamwapia kwa jina la Yawe, akisema: “Kama vile Yawe anavyoishi, hakuna azabu yoyote itakayokupata kutokana na jambo hili.”


Daudi akamwuliza: “Utaweza kunipeleka kwenye kundi lile?” Kijana akamujibu: “Ikiwa utaniapia kwa jina la Mungu kwamba hautaniua, wala kunitia katika mikono ya bwana wangu, nitakupeleka.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ