2 Samweli 19:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Hapo mufalme alishikwa na huzuni kubwa, akapanda kwenye chumba kilichokuwa juu ya mulango na kulia. Alipokuwa anapanda, alilia akisema: “Mwana wangu Abusaloma, mwana wangu Abusaloma! Ingekuwa heri ningalikufa pahali pako! Ole, Abusaloma mwana wangu! Mwana wangu!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |