Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 18:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Watumishi wa Daudi waliwashinda watu wa Israeli. Mauaji ya siku hiyo yalikuwa makubwa maana watu elfu makumi mbili waliuawa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 18:7
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, hivi ndivyo Abusaloma alivyowatendea Waisraeli wote waliokuja kutafuta uamuzi wa mufalme. Kwa kufanya hivyo, Abusaloma aliiteka mioyo ya Waisraeli.


Kwa hiyo, waaskari wa Daudi wakaenda katika mbuga kwa kupigana na watu wa Israeli. Mapigano hayo yalifanyika katika pori la Efuraimu.


Mapigano hayo yalienea katika inchi yote na watu wengi walikufa katika pori kuliko wale waliouawa kwa upanga katika vita.


Vita ya siku hiyo ilikuwa kali. Abeneri na watu wa Israeli walipigwa vibaya na watu wa Daudi.


Kisha Abeneri akamwita Yoabu: “Tutapigana siku zote? Hauoni kwamba mwisho utakuwa muchungu? Utaendelea kwa muda gani bila kuwashawishi watu wako kuacha kuwafuatilia wandugu zao?”


Lakini watumishi wa Daudi walikuwa wamewaua watu mia tatu makumi sita kutoka kabila la Benjamina pamoja na watu wa Abeneri.


Peka, mwana wa Remalia akawaua watu wengi sana. Aliua waaskari mashujaa wa Yuda elfu mia moja na makumi mbili katika siku moja. Ilitokea vile kwa sababu walimwacha Yawe, Mungu wa babu zao.


wewe unayewapa wafalme ushindi, unayemwokoa mutumishi wako Daudi!


Hakika mwovu hataepuka kuazibiwa, lakini wenye haki wataokolewa.


Mwana wangu, uwaheshimu Yawe na mufalme, wala usishirikiane na waasi,


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ