2 Samweli 18:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200232 Mufalme akamwuliza: “Kijana Abusaloma ni muzima?” Mwetiopia akasema: “Waadui zako, bwana wangu mufalme, pamoja na wote wanaokushambulia wakikutakia mabaya, wakuwe kama huyo kijana Abusaloma.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |