Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 18:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Mufalme akamwambia: “Kijana Abusaloma ni muzima?” Ahimasi akasema: “Wakati Yoabu aliponituma mimi mutumishi wako, niliona kulikuwa kelele nyingi, lakini sikufahamu maana yake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 18:29
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Ahimasi mwana wa Zadoki akamwambia Yoabu tena: “Si kitu; uniruhusu na mimi nimukimbilie yule Mwetiopia!” Yoabu akamwambia: “Mbona unataka kukimbia mwana wangu? Wewe hautapata zawadi yoyote kwa habari hizi!”


Mufalme akasema: “Kaa pembeni, na usimame pale.” Basi, Ahimasi akaenda pembeni na kusimama kimya.


Mufalme akamwuliza: “Kijana Abusaloma ni muzima?” Mwetiopia akasema: “Waadui zako, bwana wangu mufalme, pamoja na wote wanaokushambulia wakikutakia mabaya, wakuwe kama huyo kijana Abusaloma.”


Yoabu akamwambia Amasa: “Habari gani ndugu yangu?” Yoabu akamushika Amasa kwenye kidevu kwa mukono wa kuume sawa vile anataka kumubusu.


Kimbia mara moja kumupokea na kumwuliza: ‘Uko muzima? Mume wako ni muzima? Mutoto ni muzima?’ ” Naye Musunami akamujibu: “Tuko wazima.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ