2 Samweli 18:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200228 Halafu Ahimasi akamwambia mufalme kwa sauti kubwa: “Mambo yote ni sawa.” Akainama mbele ya mufalme, kwa heshima na kusema: “Yawe atukuzwe, Mungu wako, ambaye amekukomboa kutoka watu walioinua mikono yao juu yako, bwana wangu mufalme.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |