2 Samweli 18:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
27 Yule mulinzi akasema: “Ninaona kwamba yule anayekimbia zaidi ni Ahimasi mwana wa Zadoki.” Mufalme akasema: “Huyo ni mutu muzuri, anatuletea habari njema.”
Mulinzi akamwona mutu mwingine akikimbia, akasema tena kwa sauti kwenye mulango: “Angalia, mutu mwingine akikimbia peke yake!” Mufalme akasema: “Naye analeta habari.”
Kwa mara ingine tena mulinzi akasema: “Mujumbe amewafikia lakini harudi.” Halafu akaongeza: “Uendeshaji wa gari ni kama wa Yehu mwana wa Nimusi, kwa sababu yeye anaendesha mbiombio.”
Na namna gani watahubiri ikiwa hawatumwi? Ni kama inavyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: “Angalia jinsi kunavyofurahisha kuja kwa wale wanaoleta habari njema.”