Daudi alikuwa ameikaa kati ya milango miwili ya muji. Naye mulinzi wa mulango akapanda juu ya ukuta mpaka juu ya mulango na alipoinua macho yake aliona mutu akikimbia peke yake.
Mulinzi akamwona mutu mwingine akikimbia, akasema tena kwa sauti kwenye mulango: “Angalia, mutu mwingine akikimbia peke yake!” Mufalme akasema: “Naye analeta habari.”