Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 18:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Halafu Yoabu akapiga baragumu na waaskari wote wakaacha kuwafuatilia watu wa Israeli, maana Yoabu aliwakataza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 18:16
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha, vijana kumi waliomubebea Yoabu silaha, wakakuja kumuzunguka Abusaloma, wakamupiga na kumwua.


Kwa hiyo, Yoabu akapiga baragumu na watu wakaacha kuwafuatilia watu wa Israeli, wala hawakupigana zaidi.


Kisha, huyo mwanamuke akaenda kwa watu wote katika muji kwa hekima yake. Wakamukata Seba mwana wa Bikiri kichwa, wakakitupa inje kwa Yoabu. Kwa hiyo, Yoabu akapiga baragumu na kuwatawanya watu wake kutoka muji ule wa Abeli. Kila mutu akaenda kwake. Yoabu akarudi kwa mufalme Daudi, kule Yerusalema.


Ngunga isipopigwa kwa mulio wa kuarifu, askari gani atakayeweza kujitayarisha kwa vita?


Waisraeli walipoona kwamba Abimeleki amekufa, wakaondoka na kurudi kila mumoja kwake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ