Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 18:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Yoabu akamwambia mutu yule: “Nini? Ulimwona Abusaloma? Kwa nini, basi, haukumupiga na kumwua palepale? Ningefurahi kukulipa vikoroti kumi vya feza na mukaba.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 18:11
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutu mumoja aliyeona tukio hilo, akamwambia Yoabu: “Nimemwona Abusaloma akilembelea kwenye muti wa mwalo.”


Lakini yule mutu akamwambia Yoabu: “Hata kama ningeuona uzito wa vikoroti elfu moja vya feza katika mukono wangu, singeunyoosha mukono wangu juu ya mwana wa mufalme kwa kumwua. Maana, tulimusikia mufalme alipokuamuru wewe Abisayi na Itayi, kwamba kwa ajili yake, mumulinde kijana Abusaloma.


Ninyi ni wandugu zangu, ninyi ni damu yangu. Kwa nini mukuwe wa mwisho kunirudisha mimi mufalme kwangu?


Waadui zangu wamenifuatilia, wameniangusha chini kabisa, wameniikalisha katika giza kama mutu aliyekufa zamani.


Ndizo njia za wanyanganyi; maisha yao yananyanganywa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ