Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 18:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Daudi aliwahesabu watu waliokuwa pamoja naye, akawagawanya katika vikundi vya maelfu chini ya majemadari wao na kuweka wakubwa kwa kuwaongoza; na vikundi vya mamia, navyo vikiongozwa na wakubwa wao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 18:1
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Musa akamwambia Yoshua: “Chagua wanaume uende upigane na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilele cha kilima, nikishika katika mukono wangu ile fimbo ya Mungu.”


Lakini juu ya mambo mengine, chagua kati ya watu wote, watu wanaostahili, watu wanaomwogopa Mungu, waaminifu na wanaochukia kituliro. Uwape hao mamlaka, wakuwe na kazi ya kuwasimamia watu katika makundi ya watu elfu, mia, makumi tano na kumikumi.


Basi, akachagua watu wenye uwezo kati ya Waisraeli, akawafanya kuwa viongozi wa makundi ya watu elfu, watu mia, watu makumi tano na watu kumikumi.


Musa akakasirikishwa na wakubwa wa jeshi na majemadari waliosimamia makundi ya waaskari elfu na makundi ya waaskari mamia waliorudi kutoka katika vita.


Wakubwa wakisha kusema na watu, basi majemadari watawaongoza watu.


Yoshua akaamuka asubui mapema, akawakusanya Waisraeli na kuelekea katika muji wa Ai, akiwa pamoja na wazee.


Naye Saulo akawaambia watumishi wake: “Sasa ninyi watu wa kabila la Benjamina munisikilize, munazani kwamba huyu Daudi mwana wa Yese atamupa kila mumoja wenu mashamba ya mizabibu na mashamba mengine? Au munazani kwamba atamufanya kila mumoja wenu kuwa mukubwa wa waaskari maelfu au mukubwa wa waaskari mamia?


Atajichagulia wengine wakuwe wakubwa wa makundi ya waaskari wake wa maelfu na wengine wakuwe wakubwa wa makundi ya watu makumi tano. Atawafanya wengine wamulimie mashamba yake na kuvuna mazao yake. Atawafanya wengine vilevile wamutengenezee silaha za vita, na wengine wamutengenezee vyombo vya magari yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ