2 Samweli 17:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Shauri hilo la Ahitofeli lilimupendeza Abusaloma na wazee wote wa Israeli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Basi, muke wake Zeresi na warafiki zake wakamushauria hivi: “Kwa nini asitengenezewe muti wa kutundikia, wenye urefu wa metre makumi mbili na mbili? Kesho asubui, unaweza kuzungumuza na mufalme kusudi Mordekayi auawe juu yake, kisha uende ukule karamu na mufalme kwa furaha.” Wazo hilo lilimufurahisha Hamani, naye akatengeneza muti ule.