Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 17:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 na kuwarudisha watu wengine wote kwako kama bibi arusi anavyorudi katika nyumba ya mume wake. Wewe unayatafuta maisha ya mutu mumoja tu na watu wengine watakuwa na amani.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 17:3
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Shauri hilo la Ahitofeli lilimupendeza Abusaloma na wazee wote wa Israeli.


Abeneri akamwambia Daudi: “Mimi sasa nitakwenda na kukuletea watu wote wa Israeli, wewe bwana wangu mufalme. Watakuja na kufanya agano nawe, kusudi ukuwe mufalme wao, nawe utawatawala wote kama unavyopenda.” Daudi akamwaga Abeneri aende zake, naye akaondoka kwa amani.


Lakini Yawe anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.


Mungu wangu anasema hivi: Hakuna amani kwa watu waovu.


Wanatunza vidonda vya watu wangu juujuu, wakisema: “Kuna amani, kuna amani”, ingawa hakuna amani yoyote!


Watu watakapokuwa wakisema: “Kuna amani na usalama”, ndio wakati uharibifu utakapowapata kwa rafla kama vile maumivu ya kuzaa yanavyomupata mwanamuke mwenye mimba, wala hawataweza kuponyoka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ