2 Samweli 17:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200223 Ahitofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, alitandika punda wake, akaenda kwake, kwenye muji wake. Alipofika kule, alipanga vizuri mambo ya nyumba yake, akajitundika. Akakufa na kuzikwa kwenye kaburi la baba yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |