2 Samweli 17:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200221 Nyuma ya watumishi wa Abusaloma kuondoka, Yonatani na Ahimasi walitoka ndani ya kisima, wakaenda kwa mufalme Daudi na kumupasha habari. Wakamwambia: “Ondoka, uende ngambo ya muto, kwa sababu Ahitofeli amemushauria Abusaloma juu yako.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |