Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 17:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Nitamushambulia akiwa amechoka na amevunjika moyo, nami nitamutia hofu kubwa. Watu wote wanaokuwa pamoja naye watakimbia. Nitamwua mufalme peke yake,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 17:2
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha mufalme pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakafika kwenye muto wakiwa wamechoka. Basi wakapumzika.


Zaidi ya hayo, Ahitofeli alimwambia Abusaloma: “Uniruhusu nichague watu elfu kumi na mbili, niondoke na kumufuatia Daudi leo usiku.


Mufalme wa Aramu alikuwa amewaamuru viongozi wake makumi tatu na wawili waliosimamia magari yake ya vita, akisema: “Musishambulie mutu yeyote, mukubwa au mudogo, lakini tu mufalme wa Israeli.”


Nao waadui zetu wakakuwa wanasema: “Hawataweza kujua wala kuona, mpaka tutakapokuwa kati yao; tutawaua na kusimamisha kazi.”


Yawe wa majeshi anasema hivi: Amuka, ee upanga! Simama umushambulie muchungaji wangu, muchungaji anayenitumikia. Umuue muchungaji na kondoo watawanyike. Nitaunyoosha mukono wangu kwa kuwashambulia watu wazaifu.


Lakini wakati walimaji walipomwona yule mwana, wakasemezana: ‘Musimame! Huyu ndiye atakayerizi shamba hili. Basi tumwue, na shamba hili litakuwa urizi wetu!’


Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Usiku huu ninyi wote mutaanguka kwa ajili yangu, kwa maana imeandikwa hivi katika Maandiko Matakatifu: ‘Nitamwua muchungaji, na kondoo wa kundi watasambazwa.’


Hamufahamu kwamba ni afazali mutu mumoja akufe kwa ajili ya watu, kuliko taifa zima kuangamizwa?”


Mukumbuke jinsi walivyowashambulia huko katika njia mukiwa wazaifu na kuwapiga wale wote waliokuja nyuma yenu wamechoka. Waamaleki hawakumwogopa Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ