2 Samweli 17:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 Wakati ule, Yonatani na Ahimasi walikuwa wakimungojea karibu na Eni-Rogeli, kusudi wasionekane na mutu yeyote wakiingia katika muji. Kila mara mujakazi fulani alikuwa akiwapelekea habari nao wakaipeleka kwa mufalme Daudi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |