2 Samweli 17:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Abusaloma pamoja na watu wote wa Israeli wakasema: “Shauri la Husayi ni bora kuliko shauri la Ahitofeli.” Wakakataa shauri la Ahitofeli kwa sababu Yawe alikuwa amepanga kulishinda shauri jema la Ahitofeli kusudi aweze kumuletea Abusaloma hasara. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |