Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 16:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Mufalme akamwuliza: “Mwana wa bwana wako yuko wapi?” Siba akamwambia mufalme: “Yeye amebaki Yerusalema kwa sababu anazani kwamba watu wa Israeli watamurudishia ufalme wa Saulo babu yake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 16:3
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme akamwambia Siba: “Basi, yale yaliyokuwa mali ya Mefiboseti sasa ni mali yako.” Siba akamwambia: “Ninashukuru, bwana wangu mufalme, nami ninaomba nipate kukubaliwa mbele yako siku zote.”


Nitateketeza yule anayemuteta mwenzake, sitamuvumilia mwenye majivuno na kiburi.


Yananizunguka kama mafuriko muchana kutwa; yananizunguka yote pamoja.


Ndizo njia za wanyanganyi; maisha yao yananyanganywa.


Mushuhuda mwongo ataangamia, lakini anayejua kusikiliza hawezi kunyamazishwa.


Usimwaminie mwenzako, wala usimutumainie rafiki yako. Chunga mudomo wako, usimwambie kitu muke wako wewe mwenyewe.


Ole kwao! Maana wamefuata njia ya Kaina. Kwa ajili ya kupata mali wameanguka katika kosa Balama alilofanya. Wameangamia kwa sababu wameasi kama vile Kora alivyoasi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ