Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 16:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Zaidi ya hayo, nitamutumikia nani? Si mwana wa rafiki yangu? Basi, kama nilivyomutumikia baba yako ndivyo nitakavyokutumikia wewe.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 16:19
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Urudi Yerusalema na kumwambia Abusaloma: ‘Nitakuwa mutumishi wako, ee mufalme, kama vile nilivyokuwa zamani mutumishi wa baba yako’. Kwa njia hiyo utanisaidia kupinga mashauri ya Ahitofeli.


Husayi akamujibu: “Hapana! Maana yule ambaye amechaguliwa na Yawe, watu hawa na watu wote wa Israeli, mimi nitakuwa wake, na nitabaki naye.


Halafu Abusaloma alimwambia Ahitofeli: “Unipatie shauri; tufanye nini?”


Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.


Na waamini wengine Wayuda wakaanza kutenda kwa unafiki sawa Petro, na hata Barnaba akajiunga nao katika huo unafiki wao.


Daudi akamujibu Akisi: “Kweli! Utaona kitu ambacho mutumishi wako anaweza kufanya.” Akisi akamwambia: “Nami nitakufanya kuwa mulinzi wangu wa pekee wa maisha.”


Daudi akamwambia Akisi: “Lakini nimefanya nini? Kama unavyosema kwamba haujaniona na kosa lolote tangu siku ile nilipoanza kukutumikia mpaka leo, kwa nini nisiende kupigana na waadui za bwana wangu mufalme?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ