18 Husayi akamujibu: “Hapana! Maana yule ambaye amechaguliwa na Yawe, watu hawa na watu wote wa Israeli, mimi nitakuwa wake, na nitabaki naye.
Abusaloma akamwuliza Husayi: “Huu ndio uaminifu wako kwa rafiki yako Daudi? Mbona haukuenda pamoja na rafiki yako?”
Zaidi ya hayo, nitamutumikia nani? Si mwana wa rafiki yangu? Basi, kama nilivyomutumikia baba yako ndivyo nitakavyokutumikia wewe.”
Samweli akatwaa pembe lake lenye mafuta akamupakaa Daudi mafuta mbele ya kaka zake. Mara moja roho wa Yawe akamushika Daudi kwa nguvu na kuwa naye tangu siku hiyo. Kisha Samweli akarudi katika muji wa Rama.