Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 16:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Abusaloma akamwuliza Husayi: “Huu ndio uaminifu wako kwa rafiki yako Daudi? Mbona haukuenda pamoja na rafiki yako?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 16:17
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Husayi akamujibu: “Hapana! Maana yule ambaye amechaguliwa na Yawe, watu hawa na watu wote wa Israeli, mimi nitakuwa wake, na nitabaki naye.


Mefiboseti mujukuu wa Saulo alikwenda vilevile kumupokea mufalme Daudi. Tangu siku ile mufalme alipoondoka Yerusalema mpaka wakati aliporudi salama, Mefiboseti alikuwa hajapata kunawa miguu yake, kukata ndevu zake wala hakujali kufua nguo zake.


Rafiki wa kweli ni rafiki siku zote. Ndugu anazaliwa kusudi asaidie wakati wa taabu.


Warafiki wengi wanaweza kumwangusha mutu, lakini kuna rafiki mwaminifu kuliko ndugu.


Munaweza namna gani kumulipa hivyo Yawe, enyi watu wapumbafu na wasiokuwa na akili? Yeye siye baba yenu aliyewaumba, aliyewafanya na kuwaimarisha?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ