2 Samweli 15:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200232 Daudi alipofika kwenye kichwa cha mulima, nafasi ya kumwabudia Mungu, mutu mumoja jina lake Husai kutoka inchi ya Arki alikuja kwa kumupokea, nguo zake zikiwa zimepasuka na juu ya kichwa chake kuna mavumbi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Daudi alipokuwa ametambuka kidogo tu kichwa cha mulima, Siba mutumishi wa Mefiboseti akakuja kumupokea Daudi akiwa na punda wawili ambao walikuwa wametandikwa nao wakibeba mikate mia mbili, vishada mia moja vya zabibu yenye kukauka, matunda mia moja ya wakati wa jua na mufuko wa ngozi unaojaa divai.