2 Samweli 15:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200231 Wakati ule, Daudi aliambiwa kwamba hata Ahitofeli alikuwa mumoja wa waasi waliojiunga na Abusaloma. Lakini Daudi akaomba akisema: “Ee Yawe, ninakuomba uyafanye mashauri ya Ahitofeli yasifanikiwe.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |