2 Samweli 15:30 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200230 Lakini Daudi aliendelea, akapanda kwenye mulima wa Mizeituni akilia, bila viatu na kichwa chake kimefunikwa. Hata watu wote waliokuwa pamoja naye walifunika vichwa vyao, wakapanda mulima wakilia. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |