2 Samweli 15:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200225 Kisha mufalme akamwambia Zadoki: “Urudishe Sanduku la Agano la Mungu katika muji. Kama nimepata kukubaliwa mbele ya Yawe, bila shaka atanirudisha na kunijalia kuliona tena Sanduku lake na kuyaona makao yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |