Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 15:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Wewe ulikuja huku juzijuzi tu. Nikufanye mutu wa kutangatanga pamoja nasi, nikijua kwamba sijui hata kule ninakokwenda? Rudi pamoja na wandugu zako. Naye Yawe akuonyeshe wema na uaminifu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 15:20
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

aliwatuma watu kule Yabesi-Gileadi na ujumbe: “Yawe awabariki kwa maana mulitendea bwana wenu Saulo mema kwa kumuzika.


Sasa, Yawe awatendee kwa wema na uaminifu. Nami nitawatendea vizuri kutokana na jambo mulilolitenda.


Njia zote za Yawe ni njema na za uaminifu kwa wale wanaoshika agano lake na maagizo yake.


Ee Mungu, uwalipe kwa kadiri ya uovu wao, uwaangushe hao waovu kwa hasira yako.


Ninamulilia Mungu Mukubwa, Mungu anayenikamilishia nia yake.


Kila magaribi waadui hao wanarudi wakifoka kama imbwa, na kuzungukazunguka katika muji.


Umujalie mufalme maisha marefu, miaka yake ikuwe ya vizazi vingi.


Atawale milele mbele yako, ee Mungu; wema na uaminifu wako vimulinde.


Hakika yeye ni tayari kuwaokoa wanaomuheshimu, na utukufu wake utadumu katika inchi yetu.


Mukono wako unajaa nguvu, mukono wako una nguvu na umeshinda!


Anayepanga kutenda maovu kweli anakosa! Wanaopanga kutenda mazuri watapata mema na uaminifu.


Wema na uaminifu zisitengane nawe. Uvifunge katika shingo lako; uviandike ndani ya moyo wako.


Watu watatangatanga kutoka bahari hata bahari, kutoka upande wa kaskazini mpaka wa mashariki. Watakimbia huko na huko wakitafuta neno la Yawe, lakini hawatalipata.


Sheria ya Mungu ilitolewa kwa njia ya Musa, lakini neema na ukweli vilikuja kwa njia ya Yesu Kristo.


Kisha, Daudi na watu wake ambao walikuwa yapata mia sita, waliondoka na kwenda popote walipoweza kwenda. Saulo aliposikia kwamba Daudi amekwisha kimbia kutoka Keila, akaiacha mipango yake yote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ